HII NDIYO MIJI 10 YENYE GHARAMA KUBWA KUISHI DUNIANI


Mji wa Seoul, Korea Kusini.
**

Bara la Asia ndiyo bara la gharama zaidi kuishi kwa mujibu wa utafiti wa 'ECA International' ambapo miji mitano kutoka Asia ipo katika orodha ya miji 10 yenye gharama kubwa ya kuishi duniani.

Utafiti huo umejikita katika kuangalia wastani wa bei za bidhaa za nyumbani, usafiri wa umma na thamani ya sarafu.

1. Hong Kong
2. New York
3. Geneva
4. London
5. Tokyo
6. Tel Aviv
7. Zurich
8. Shanghai
9. Guangzhou
10. Seoul

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments