KAMPUNI YA JAMBO FOOD PRODUCTS YASHIRIKI TAMASHA LA UTAMADUNI SHINYANGA

Gari la Matangazo la Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Jambo Food Products imeshirika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga lililokwenda sanjari na uzinduzi wa Kijiji cha utamaduni wa kabila la Wasukuma na Filamu ya The Royal Tour kwa Mkoa wa Shinyanga.

Tamasha hilo lilizinduliwa Juni 7,2022 na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na kufungwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema Juni 8,2022 katika kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa kata ya Old – Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema (kulia) akimkabidhi Mwakilishi wa Kampuni ya Jambo Food Products, Juma Isa Ramadhan cheti cha Shukrani kutambua ushiriki na mchango wa Kampuni ya Jambo Food Products kwenye Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga lililofanyika Juni 6 - 7,2022 katika kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa - Old Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Gari la Matangazo la Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga
Banda lenye bidhaa za Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga
Banda lenye bidhaa za Kampuni ya Jambo Food Products likiwa kwenye kijiji cha Utamaduni wa Kabila la Wasukuma cha Butulwa -Old Shinyanga katika Tamasha la Kwanza la Utamaduni Mkoa wa Shinyanga.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments