Picha : NAPE NNAUYE AFUNGUA MAADHIMISHO SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI... ATEMBELEA BANDA LA MISA - TAN MAONESHO YA KIHABARI


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akisoma kipeperushi katika banda la Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani yakiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'. Kulia ni  Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) Bi. Salome Kitomari akielezea shughuli mbalimbali zinazofanywa na MISA - TAN. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akisoma kipeperushi katika banda la Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha. Wa kwanza kulia ni Afisa Habari na Utafiti wa MISA TAN, Bi. Neema Kasabuliro
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akifurahia jambo katika banda la Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua Maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ikiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'. Wa pili kulia ni  Mwenyekiti wa  MISA-TAN Bi. Salome Kitomari akielezea shughuli mbalimbali zinazofanywa na MISA - TAN. Wa kwanza kulia ni Afisa Habari na Utafiti wa MISA TAN, Bi. Neema Kasabuliro
Kulia ni  Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) Bi. Salome Kitomari akielezea shughuli mbalimbali zinazofanywa na MISA - TAN kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kushoto).
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akifurahia jambo katika banda la Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) tawi la Tanzania (MISA-TAN) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ikiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani  leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha. 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani  leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha. 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani  leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani kitaifa Mei 3,2022 jijini Arusha.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments