Post Top Ad
Tuesday, March 8, 2022
RC JOHN MONGELLA ATEMBELEA BANDA LA TGNP MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE JIJINI ARUSHA
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella akiwa kwenye banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Mongella ameipongeza TGNP kwa kazi kubwa inayofanya katika kuleta usawa wa kijinsia nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (katikati) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (katikati) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (kulia) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (kushoto) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Wadu wakiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Soma pia :
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment