RC JOHN MONGELLA ATEMBELEA BANDA LA TGNP MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE JIJINI ARUSHA


Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella akiwa kwenye banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Mongella ameipongeza TGNP kwa kazi kubwa inayofanya katika kuleta usawa wa kijinsia nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (katikati) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (katikati) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (kulia) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Mgeni Rasmi ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (kushoto) akiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa ambayo yamefanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa TGNP, Bi. Lilian Liundi.
Wadu wakiwa katika banda la TGNP kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitaifa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Soma pia :

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments