SERIKALI YAPUNGUZA TOZO ZA MIAMALA YA SIMU...VIWANGO VIPYA KUTANGAZWA KESHO


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Wizara ya Fedha na Mipango kupitia kwa Waziri wake Dkt. Mwigulu Nchemba, imepunguza tozo kwenye miamala ya simu kwa asilimia 30.

Kwa upande wa tozo za miamala ya mtandao mmoja kwenda mwingine zimepunguzwa kwa asilimia 10. Viwango vilivyopunguzwa vitatangazwa rasmi kesho Septemba 1, 2021.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments