Tanzia : PADRE RAYMOND SABA AFARIKI DUNIA



Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Raymond Saba amefariki duniani Agosti 3, 2021 majira ya saa 1 jioni katika hospitali ya Rabinitsia iliyopo jijini Dar es salaam aliyokuwa akipatiwa matibabu.

Katibu wa Askofu wa jimbo katoliki Kigoma, Evarist Guzuye, amesema misa takatifu ya mazishi itafanyika katika kanisa la Mtakatifu Marko Kabanga, wilayani Kasulu siku ya Jumatatu, Agosti 9, 2021.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments