BANK OF AFRICA YAWAPATIA MAFUNZO YA KIBISHARA WATEJA WAKE

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wasia Mushi akifungua warsha ya mafunzo ya kibiashara kwa wateja wa biashara za kati (SME) wa benki hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mmoja wa washiriki wa warsha akipokea Cheti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wasia Mushi (Kulia)
Mmoja wa washiriki wa warsha akipokea Cheti kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Bw.Wa sia Mushi (Kulia)
Washiriki wa warsha katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Bank of Africa (BOA) ,Bw. Wasia Mushi (katikati)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments