Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaonya baadhi ya wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na hasa kwa kufunga barabara kwa kuweka mawe na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.
IGP Sirro amesema hayo jana akielekea mkoani Arusha na kulazimika kusimama katika kijiji cha Kelema wilaya ya Chemba mkoani Dodoma kutokana na kitendo cha wananchi kufunga barabara kuu ya Dodoma, Babati kufuatia kuchoshwa na ajali za mara kwa mara zinazotokea katika eneo hilo na kusababisha vifo na majeruhi.
Akizungumza kwa niaba ya wanakijiji hao BiKulusumu maarufu mama Kibibi amemuomba Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro kuwawekea askari wa kutosha wa usalama barabarani pamoja na kuweka matuta na beria itakayosaidia kupunguza ajali.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin