WALENGWA WA TASAF WAONYWA KUTORIDHIKA NA MAFANIKIO WALIYOYAPATA

 

Mmoja wa Walengwa wa TASAF katika kijiji cha Matembo, Iringa Vijijini (katikati)  akiwa na baadhi ya Wajumbe kamati ya Uongozi wa TASAF Taifa na Wataalamu wakiwa  mbele ya nyumba aliyoijenga kutokana na ruzuku anayopata kutoka serikalini kupitia TASAF.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa TASAF taifa wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi   wanaotoka kwenye kaya za walengwa wa  Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika kijiji cha Matembo halmashauri ya wilaya ya Iiringa Vijijini.


 Picha ya juu na chini baadhi ya Wajumbe ya Kamati ya Uongozi wa TASAF  taifa wakikagua Shamba la miti na matunda aina ya Miparachichi ambayo imepandwa na Walengwa wa TASAF kupitia utaratibu wa Ajira ya Muda katika kijiji cha Ludilo  wilayani Mufindi mkoani Iringa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments