Priscus Tarimo (CCM) Ashinda Ubunge Jimbo la Moshi Mjini


 Mgombea wa CCM, Priscus Tarimo ameshinda ubunge Jimbo la Moshi Mjini kwa kupata kura 31,169 akifuatiwa na Raymond Mboya (CHADEMA) aliyepata kura 22,555.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments