George Mkuchika Atangazwa Mshindi Kiti cha Ubunge Newala Mjini


 Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Newala Mjini Mkoani Mtwara amemtangaza George Huruma Mkuchika wa CCM kuwa Mshindi wa kiti cha Ubunge Newala Mjini kwa kupata kura 18,705 akifuatiwa na Issa Juma Chilindima (CHADEMA) mwenye kura 12,546.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments