MGOMBEA URAIS ZANZIBAR DK. MWINYI AENDELEA KUMWAGA SERA... HAYA NDIYO ALIYOYAZUNGUMZA LEO VIWANJA VYA SKULI YA KIWANI PEMBA
Wednesday, October 21, 2020
Aliyoyazungumza Mgombea Urais wa CCM kwa tiketi ya CCM Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi kwenye Mwendelezo wa siku za mwisho mwisho kumalizia kunadi Sera kwa Wananchi. Mkutano huo Mkubwa wa Kampeni umefanyika Viwanja Vya Skuli ya Kiwani, Pemba. Wazanzibar wamekubaliana na hawadanganyiki wala kubabaishwa na mtu yeyote yule, Kura Zote ni kwa CCM tu kwa Urais na ngazi za Uwakilishi zote.
#YajayoniNeematupu
#Mwinyi2020
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin