MAGUFULI KURINDIMA MOSHI MJINI KESHO AWAMU YA MWISHO KAMPENI ZA UCHAGUZI



Awamu ya 6 na ya Mwisho ya Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Zinaendelea kurindima na baada ya Pwani na Tanga, Sasa Kesho Mitambo ya Ushindi inahamia Moshi. Ni Kesho Jumatano Oktoba 21, 2020 ataunguruma Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro. Twende na JPM, Kiongozi Mpole na Mchapakazi.

#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

 



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments