MAGUFULI KURINDIMA MOSHI MJINI KESHO AWAMU YA MWISHO KAMPENI ZA UCHAGUZI
Tuesday, October 20, 2020
Awamu ya 6 na ya Mwisho ya Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Zinaendelea kurindima na baada ya Pwani na Tanga, Sasa Kesho Mitambo ya Ushindi inahamia Moshi. Ni Kesho Jumatano Oktoba 21, 2020 ataunguruma Moshi Mjini Mkoani Kilimanjaro. Twende na JPM, Kiongozi Mpole na Mchapakazi.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin