JPM AUNGURUMA KOROGWE TANGA...HAYA NDIYO ALIYOYAZUNGUMZA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA KAMPENI
Tuesday, October 20, 2020
Tanga Kunani Kule? Tanga kuna Dkt John Pombe Magufuli, Mgombea Urais wa CCM ambaye Leo Jumanne Oktoba 20 ameendelea kunadi Sera na Ilani ya CCM Kwenye Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga. Haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo Mkubwa kabisa wa Kampeni. Watanzania twende na Mzalendo, Mchapakazi, Mzalendo na Mlinzi wa Kweli wa Rasilimali zetu.
#KuraKwaMagufuli2020
#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin