RPC BWIRE AONGOZA ASKARI POLISI IRINGA MAZOEZI YA UTAYARI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Saturday, August 22, 2020
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Juma Bwire (kulia mwenye Kofia) akiwaongoza vikosi vya Ulinzi na Usalama katika mazoezi ya utayari kuelekea katika Uchaguzi Mkuu. (Picha na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi).
Askari wa majeshi mbalimbali ya Ulinzi na Usama wa Mkoa wa Iringa wakiwa kwenye mazoezi ya utayari kuelekea katika Uchaguzi Mkuu.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin