YUSUPH MBUNDI 'MATAMA' ACHUKUA FOMU KUGOMBE UBUNGE SHINYANGA MJINI



Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph John Mbundi 'Matama' akichukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Julai 15,2020. Kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu.

Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph John Mbundi 'Matama' akionesha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527