ABBAS TARIMBA AONGOZA KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA KINONDONI

Katika kura za maoni CCM Jimbo la Kinondoni Abbas Tarimba Abbas Tarimba ameongoza  kwa kupata kura 171, akifuatiwa na Idd Azann kura 77, George Wanyama 32 huku mbunge anayemaliza muda wake Maulid Mtulia akipata kura 11.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527