SELEMANI JAFO AIBUKA MSHINDI KWENYE KURA ZA MAONI KATIKA JIMBO LA KISARAWE KWA KUPATA KURA 588

Zoezi la kuhesabu kura za maoni, Jimbo la Kisarawe limekamilika na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo ameibuka mshindi.


Selemani Jafo-588
Hassan Bangusilo- 1
Fransis Gosbert -1
Mohamed Masenga-1
Ally Goha -2
Zemba Mumbi -2
Zainabu Zowange-2
Chaulembo -3


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527