RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI WANNE


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo amewaapisha Mabalozi Wateule wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika nchi za nje.

Walioapishwa ni;
1. Meja Jenerali (MST) Gaudence Milanzi kuwa Balozi wa Africa Kusini.

2.Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Balozi wa Namibia.

3.Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbennah kuwa Balozi wa Zimbabwe.

4.Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi wa Nigeria.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527