BABA MTAKATIFU FRANCIS AKUBALI OMBI LA MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO KUSTAAFU...YUDA THADDEUS RUWAI'CHI KUCHUKUA NAFASI YA ASKOFU MKUU JIMBO LA DAR ES SALAAM
Thursday, August 15, 2019
Baba Mtakatifu Francis amekubali ombi la Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kustaafu rasmi nafasi yake ya Askofu Mkuu Jimbo la Dar es Salaam.
Nafasi hiyo itachukuliwa na Askofu Mkuu Mwandamizi Yuda Thaddeus Ruwai'chi kuendelea kuongoza Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin