RAIS MAGUFULI AWASHUKURU WATANZANIA KWA KUMTAKIA KHERI KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 

Alichokisema Rais Magufuli baada ya siku yake ya kuzaliwa. “Nimepokea salamu nyingi japo sikuweza kuwajibu wote, lakini muamini kuwa nimezipata.”

Amewataka Watanzania tuendelee kudumisha amani,upendo,mshikamano na kuchapa kazi za kulijenga Taifa.






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527