HII HAPA ORODHA YA WATU 100 WENYE USHAWISHI ZAIDI DUNIANI MWAKA 2017

April 2017 Jarida la Times limetoa list ya watu 100 wenye ushawishi mkubwa duniani ambapo Rais wa Marekani Donald Trump ,Rais wa China Xi Jinping na Rais wa Urusi Vladmir Putin wametajwa kama Marais wenye ushawishi zaidi kwa mwaka 2017.

List hii pia ilitaja wanamuziki kama John Legend,Chance the Rapa na Demi Lovato na kwa upande wa wanawake jarida la Times imetaja wanawake 40 wenye ushawishi kwa mwaka 2017 ambapo mshindi wa Olimpiki 2016 simone Biles na Ivanka Trump ni miongoni mwao.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527