
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA) na Masuala ya Idara ya Uhamiaji.
Waziri Katambi amewasilisha taarifa hizo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama,Bungeni jijini Dodoma.
















Social Plugin