Kwaya ya Shinyanga Adventist Choir (SAC) imetoa wimbo mpya uitwao “Njooni Tusemezane” ambao sasa unapatikana rasmi kupitia mtandao wa YouTube.Wimbo huu unaleta ujumbe wa kiroho na mshikamano, ukiwahimiza waumini na jamii kwa ujumla kudumisha mawasiliano na Mungu pamoja na kushirikiana katika upendo na mshikamano.
Kupitia kazi hii, SAC inaendelea kuimarisha nafasi yake katika muziki wa injili mkoani Shinyanga na Tanzania kwa jumla, ikiwa kwaya inayojulikana kwa ujumbe mzito na uimbaji wa hali ya juu.
👉 Tazama wimbo huu mpya hapa: SHINYANGA ADVENTIST CHOIR (SAC) – NJOONI TUSEMEZANE (Official Video)
Social Plugin