Picha & Video : MAHAFALI YA PILI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI NHELEGANI MANISPAA YA SHINYANGA
Wednesday, September 24, 2025
Mahafali ya pili ya darasa la saba yamefanyika katika Shule ya Msingi Nhelegani, iliyopo Manispaa ya Shinyanga, yamefanyika Septemba 24, 2025.
Katika hafla hiyo, jumla ya wanafunzi 128 wamehitimu elimu ya msingi, wakiwemo wavulana 52 na wasichana 76, wakiwakilisha jitihada za shule kuhakikisha elimu bora kwa wote.
Shule ya Awali na Msingi Nhelegani ilifunguliwa 1970.
TAZAMA VIDEO
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin