
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Musa Ryoba, ameonesha dhamira ya kulitumikia Taifa kwa kuchukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini, mkoani Mara, katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2025.
Ryoba amechukua na kurejesha fomu hiyo katika ofisi za CCM Wilaya ya Tarime.

Social Plugin