Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

ABUBAKAR MUKADAM ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA MJINI - SHINYANGA

 

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini, Abubakar Gulamhafiz Mukadam, amejipanga kurejea kwenye uongozi wa kisiasa kwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa CCM kugombea nafasi ya Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Shinyanga.

Abubakar amechukua fomu na kurejesha katika ofisi ya kata ya Mjini iliyopo tawi la Mboya.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com