KADA WA CCM NYACHIRO MAGOGGO AOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE SHINYANGA MJINI
Monday, June 30, 2025
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nyachiro Maiga Magoggo ameonesha dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi kwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini.
Magoggo amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025, katika Ofisi za CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin