Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WAHITIMU PHILADELPHIA WATAKIWA KUTANGAZA INJILI NA KUKEMEA MAOVU

Mhitimu ngazi ya Diploma Suzy Luhende Butondo akipokea cheti chake
Wahitimu wa ngazi ya Diploma Chuo cha Philadelphia Bible College kilichopo Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa chuo cha Calvary Reform Bible Institute Tanzania Lawrence Daffa ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya kwanza Philadelphia Bible College.


Wahitimu wakiingia ukumbini
Mkurugenzi wa chuo cha Philadelphia Bible College Askofu Baraka Laizer
Wahitimu wa chuo cha Philadelphia wakiingia ukumbini
Wageni waalikwa wakishuhudia matukio mbalimbali katika mahafali ya kwanza ya chuo cha Philadelphia

Sherehe ikiendelea




Zoezi la kupokea vyeti likiendelea George Kulwa akipokea cheti
Zoezi la kupokea vyeti likiendelea Dionisio Kaijage akipokea cheti

Mhitimu Suzy Butondo akikata keki
Mwandishi wa habari wa Jambo FM Eunice Kanumba akimlisha keki Mhitimu wa ngazi ya Diploma Suzy Butondo


Evaline Msangi ambaye ni mhitimu wa ngazi ya Diploma akipokea cheti
Wahitimu wakipongezana kwa kulishana keki


Wahitimu wakifanyiwa maombi maalum na viongozi wa dini ili kuwawezesha kwenda kufanya kazi ya Mungu vizuri.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com