Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

KAMHONGA MKE WANGU SH5.7 MILIONI LAKINI HAJAAMBULIA KITU


Jina langu ni Frey, tumeishi na mke wangu Tuma kwa miaka 12 ndani ya ndoa yetu, naweza kusema kati ya wanaume duniani ambao wamefaidi matunda ya ndoa mimi ni mmoja wapo.

Nasema hivyo kwa sababu tangu nimemuoa huyu mke wangu sikumbuki kama kuna siku tumewahi kugombana au kununiana ndani ya nyumba, muda wote kwetu sisi ni upendo tu.

Pia mke wangu ni nzuri sana kisura na kiumbo, ni vidume wengi sana mtaani na sehemu mbalimbali vimekuwa vikimmezea mate, kila anapokatiza lazima watu wageuke kumtazama hata wanawake wenzake hufanya hivyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com