BANDARI QUEENS BINGWA NETIBOLI DARAJA LA PILI, MENEJIMENTI YA TPA YAPONGEZWA


Timu ya Netiboli ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA “ Bandari Queens” imetwaa Ubingwa wa Mashindano ya ligi Daraja la pili Taifa baada ya kupata ushindi wa magoli 38 kwa 31 dhidi ya Mapinduzi Dodoma Katika mchezo wa tamati uliochezwa Uwanja wa Shule ya Sekondari Nsimbo, Mpanda Mkoani Rukwa.

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Jamila Yusuph amekabidhi kombe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post