Tanzia : MSANII FADHILI MUNGI MAARUFU 'CHAP CHAP' AFARIKI DUNIA

 

Msanii maarufu wa nyimbo za utamaduni  wa kikundi cha Shinyanga Arts Group Fadhili Mungi maarufu Chap Chap (44) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ijumaa Juni 30,2023 jijini Dar es salaam.


ChapChap alikuwa anasumbuliwa na tatizo la Kansa katika mfumo wa hewa kwa muda mrefu na hivi karibuni alifanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Taarifa za awali zinasema mazishi yatafanyika kesho  Chang'ombe Kisarawe.

R.I.P Fadhili Mungi


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments