SEHEMU ZANGU ZA SIRI ZIMEVIMBA BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

Hapo Januari mwaka huu, kuna familia ilihamia karibu na mahali nilipokuwa naishi, ghafla nikagundua mke wa jirani yangu yule ni mrembo sana, mtoto ni kisu kweli kweli, unaweza kutokwa na udenda, kidume yoyote yule ni lazima tu angemtamani.

Mume wake ni Afisa wa Polisi na mwanamke huyo ni mfanyakazi katika bandari ya Mombasa, basi tukaanza urafiki kama majirani, wote walinichukulia kama ndugu yao na mara kadhaa nilienda nyumbani kwao kwa ajili ya maongezi.

Nilizoeana na mke wa bwana yule hadi ikafikia hatua ambayo nilianza kupika chakula kila nilipoenda kwenye nyumba yao, haikuchukua muda mimi na mwanamke yule tukaanza kutamaniana kimapenzi.

Tulibadilishana namba za simu na hapo tukaanza kutumiana jumbe za kimapenzi kila mara kwani mapenzi yalikua yamenoga baina yetu, huku mume wake akiwa hajui lolote.

Alhamisi moja bwana mwenye nyumba alitumwa katika maeneo ya Msambweni kwa ajili usalama, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu kwenda katika nyumba yake ile kupiga stori na mke wake kama ilivyokua kawaida yangu. Nilipofika ndani ya nyumba ile, nilimkuta mke yule amevalia nguo za kulalia, hapo mwili wangu ukawaka sana hisia.

Tulizungumza kwa muda wa dakika 20 hivi kisha akanza kunipapasa kwa mikono yake iliyolainika, nilifahamu kuwa maishani fursa kama hiyo huwa inakuja mara moja tu, hivyo nikaamua kumega tunda la mwenzangu kwa raha zangu mwenyewe.

Jumamosi asubuhi nilishtushwa usingizini na maumivu niliyokuwa nahisi katika sehemu zangu za siri, nilisema labda maumivu yale yanatokana na nguvu nyingi ambazo nilitumia katika tendo lile na jirani yangu.

Lakini siku zilivyozidi kwenda maumivu nayo yalizidi kuwa makali, hapo ndipo nilipogundua kuwa mume wake alikua ametumia dawa ya kumkinga mke wake asiweze kufanya mapenzi na mwanaume mwingine yoyote yule nje ya ndoa yao.

Nilishindwa hata kutembea kwani sehemu zangu za siri zilikuwa zimevimba sana huku maumivu yakiwa yakutisha, niliamua kuwasiliana na African Doctors kuomba msaada, akaniambia kuwa mume wa mwanamke yule alikuwa amemkinga mke wake na yeye ndiye aliyemuokea kinga hiyo!. 

Alinishauri niende kwa bwana yule ambaye anaitwa Rashid ili nimuombe msamaha kwa yale niliyafanya kwani yeye African Doctors kama mtaalam ndiye alikuwa mshauri wake wa jambo hilo.

Nilikumbwa na msongo wa mawazo na hapo nikachanganyikiwa nikifikiria naanzaje kwenda kuomba msamaha, wakati ule sikuwa hata na uwezo wa kutembea kwani sehemu zangu za siri zilikua zimevimba sana.

Nilipiga moyo konde na kwenda kuomba msamaha kwa bwana Rashid, nashukuru alinisamehe ila aliniamuru nimpigie African Doctors kwanza, nilizungumza naye na kunitoza Ksh30,000 kama faini ya kosa lile na siku iliyofuata mambo yakarudi kama ilivyokuwa kawaida. 

African Doctors anatibu kaswende, kifua kikuu, pia anasuluhisha migogoro ya ndoa, kuinua biashara, kukusaidia kupata kazi, kupanda cheo kazini, kuongezwa mshahara na mengine mengi.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments