WANAFUNZI WA SHULE ZA MSALALA WAPATIWA ELIMU YA KUJITAMBUA NA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA KUPITIA PROGRAM YA BARRICK BULYANHULU
Sunday, December 11, 2022
Katika kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia mwaka huu, Barrick iliendesha program mbalimbali za kutoa elimu mashuleni dhidi ya vitendo hivyo ambapo mgodi wa Bulyanhulu kwa kushirikiana na wadau mbalimbali umewezesha elimu hiyo kufikia shule za msingi na sekondari zilizopo katika vitongoji vinavyozunguka mgodi huo.
Wanafunzi wa shule za Bugarama,Buyage,Ibanza na Igwamanoni wamefikiwa na elimu ya kujitambua na kupinga vitendo vya Ukatili wa Kijinsia
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin