MBAPPE MFUNGAJI BORA KOMBE LA DUNIA 2022



MCHEZAJI wa klabu ya PSG na timu ya Taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amefanikiwa kunyakua kiatu cha dhahabu kwenye michauno ya kombe la Dunia kwa kufanikiwa kuibuka mfungaji bora wa michuano hiyo kwa kufunga mabao nane.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments