CRDB WAUSIMAMISHA MJI WA SHINYANGA, MBIO ZA BAISKELI BALAA!! SHUHUDIA HAPA

Tamasha la Mbio za Baiskeli Shinyanga lililoandaliwa na Benki ya CRDB lenye lengo la kuunga mkono maendeleo katika sekta ya afya kwa kuhamasisha uchangiaji damu salama kwa ajili ya wahitaji wa damu katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga pamoja na kuadhimisha kumbukumbu ya siku ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere linaendelea katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.

Mamia ya wananchi wa mkoa wa Shinyanga na mikoa jirani wamejitokeza katika tamasha hilo wakishuhudia mbio za baiskeli, mpira wa miguu na pete na burudani mbalimbali.

 Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
 Tazama matukio hapa chini



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments