JAMAA AZUA GUMZO AKIRUDISHA DIGRII CHUONI APEWE ADA YAKE........"HAIJAMSAIDIA KITU"



Katika video inayosambaa, jamaa huyo anaonyeshwa akizua kioja chuoni akirejesha cheti chake akitaka arudishiwe karo zote alizolipa kwa sababu ya kukosa kazi Anadai kuwa licha ya kuwa na shahada, anahangaika na cheti hicho ambacho hakijamletea manufaa yoyote ya kifedha tangu alipohitimu Alisema ana kipawa cha kutumbuiza hivyo ana uhakika kwamba iwapo atarejeshewa karo yake atawekeza kwenye kazi yake ya burudani MAKINIKA: Tusaidie kubadilisha maisha ya wengi, jiunge na programu ya Patreon kutoka.


Alaba anaonyeshwa kwenye video hiyo akizua kioja kwenye mapokezi ya chuo hicho akirejesha cheti chake na kutaka arudishiwe karo zote alizolipa kwa sababu ya kukosa kazi. Mhitimu huyo alisema cheti hicho hakimsaidi chochote hivyo anataka karo zake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments