JAMAA ANASWA AKICHINJA MBWA BUKOBA....Shuhudia hapa

Kijana akichinja mbwa 


***
Kijana aliyejitambulisha kwa majina ya Amimu Hashimu mkazi wa eneo la Kashai katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, amekamatwa akichinja mbwa aliyedai kuagizwa na mtu amchinje halafu ampelekee nyama.



Wakizungumzia tukio hilo baadhi ya mashuhuda wamesema kuwa wamemuona kijana huyo akipita amembeba mbwa huyo kama mbuzi na kuamua kufuatilia na kumkuta akichinja ambapo walitoa taarifa polisi na kufanikiwa kumkamata na kumpeleka ofisi ya kata Kashai kwa hatua zaidi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments