TIMU YA TANZANIA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YAWASILI UINGEREZA

Timu ya Tanzania imewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Heathrow jijini London tayari kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayofanyika mjini Birmingham kuanzia tarehe 28, Julai 2022

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments