RAIS MWINYI AKUTANA NA MADAKTARI BINGWA WA UPASUAJI KUTOKA SHIRIKA LA PELEKS


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Madaktari Bingwa wa Upasuaji kutoka Shirika la Peleks, wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, baada kumaliza utoaji wa huduma ya upasuaji kwa Wananchi wa Pemba uliofanyika katika Hospitali ya Chakechake na Wete Pemba

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments