NIC YADHAMINI MBIO ZA BIMA MARATHON 2022, YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WATANO

Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mbio za Bima marathon za kilometa 21 kwa uppande wa wanaume zilizofanyika leo Aprili 03,2022. Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi mshindi wa pili wa mbio za Bima marathon za kilometa 21 kwa uppande wa wanaume zilizofanyika leo Aprili 03,2022.Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mbio za Bima marathon za kilometa 21 kwa uppande wa wanawake zilizofanyika leo Aprili 03,2022.Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja (NIC), Bw.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi mshindi wa pili wa mbio za Bima marathon za kilometa 21 kwa uppande wa wanawake zilizofanyika leo Aprili 03,2022.

***********************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Shirika la Bima la Taifa NIC limedhamini mbio za Bima Marathon zilizofanyika leo Jijini Dar es Salaam, ambapo NIC iliweza kutoa zawadi kwa washindi wa mbio za Kilomita 21 kwa wanawake na wanaume wa kwanza hadi watano.

Aidha kupitia mbio hizo NIC wametoa elimu ya bima kwa kueleza umuhimu wa kuwa na Bima kama NIC ili kuweza kujilinda na majanga ya moto na maafa mbalimbali.

Akizungumza katika mbio hizo amesema kuwa ushiriki umekuwa wa kuvutia kwani washiriki wameweza kujiunga na mbio hizo wakitoka katika maeneo mbalimbali nchini na maeneo ya visiwani ambapo miongoni mwa washindi kwenye mbio hizo ametokea visiwani Zanzibar.

Amesema kuna umuhimu mkubwa wa kufanya mazoezi hasa ya mbio kwani yanasaidia kuuweka mwili vizuri na kujiepusha na maradhi nyemelezi.

PICHA ZAIDI

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments