RAIS SAMIA AKAGUA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM UTAKAOFANYIKA KESHO


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan,  leo tarehe 31 Machi, 2022 amekagua  maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM katika Ukumbi wa Mikutano wa  Jakaya  Kikwete Jijini Dodoma utakaofanyika kesho April 01, 2022.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments