NYWELE NA NYUSI ZA BINTI ZAGOMA KUOTA MIAKA 23 SASA BAADA YA KUNYOLEWA NA BABA YAKE


Picha ya Kampire Josepha

Unaambiwa Bi Kampire Josepha (28) amekuwa akiishi bila nyusi na style ya para kichwani baada ya kunyolewa nywele na baba yake akiwa na miaka mitano ambazo hazijaota mpaka leo.

Kwa sasa imepita miaka 23 Kampire Josepha kuishi bila nywele hizo na kupitia mahojiano aliyofanya nchini Rwanda, anasema familia yake inaamini kubaki na upara na kutoota nywele inasabishwa na imani za kishirikina.

Aidha bibi yake amesema mjukuu wake alizaliwa na nywele ila baada ya kunyolewa hazijamuota tena, pia wamehangaika kwa mganga wa kijiji aliyewapa dawa za mitishamba kupaka ili ziote lakini imeshindikana.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments