Post Top Ad
Thursday, March 10, 2022
Home
habari
matukio
shinyanga
CHUO CHA MADINI SHINYANGA 'ESIS' KIMETANGAZA NAFASI ZA MASOMO ELIMU YA MADINI, MAFUTA NA GESI ASILIA
CHUO CHA MADINI SHINYANGA 'ESIS' KIMETANGAZA NAFASI ZA MASOMO ELIMU YA MADINI, MAFUTA NA GESI ASILIA
Chuo cha Madini Shinyanga (Earth Sciences Institute of Shinyanga - ESIS) kinatangaza nafasi za masomo elimu ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia katika ngazi ya Cheti na Diploma kwa mhula wa masomo 2021/2022.
Mwisho wa kutuma maombi ni Machi 30,2022.
Kwa Mawasiliano tupigie kwa simu namba 0765434604 au 0687 434617 email: info@esis.ac.tz tovuti www.esis.ac.tz
Chuo cha ESIS kipo karibu na Uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga katika majengo ya Chuo Huria cha Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment