Post Top Ad
Saturday, December 11, 2021
Picha : RAIS MWINYI AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari na waandishi wa habari mbalimbali wa magazeti,runinga na redio nchini, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar Desemba 11,2021.(Picha zote na Ikulu).
Wahariri wa vyombo vya habari na waandishi wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akijibu maswali wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari na wahariri, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
Mwandishi wa Islam Seif akiuliza swali wakati wa mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari na waandishi uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment