JESHI LA POLISI LAANZA KUCHUNGUZA ASKARI WANAOGEUZA SIMU ZA WIZI DILI


Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime
**
Jeshi la Polisi Tanzania limeanza uchunguzi dhidi ya askari wanaotumia fursa ya watu kuibiwa simu kuanza kuwaomba pesa ili wawasaidie kutafuta simu hizo na hatua kali kwa askari wanaohusika na utovu huo wa nidhamu zitachukuliwa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 30, 2021, na Msemaji wa Jeshi hilo SACP David Misime, na kusema tangu taarifa zilizoeleza kwamba askari wamegeuza simu za wizi kuwa miradi binafsi zitolewe jeshi hilo lilianza kufuatia.

Chanzo - EATV

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments