RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI ALIYEMTEUA JANA USIKU


Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Mwesiga ambaye aliteuliwa jana, kufuatia uamizi huo Rais Samia amemrejesha Dkt.James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC.

Dkt. Mataragio ndiye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC kabla ya uteuzi wa Mwesiga kutangazwa hapo jana April 04,2021, Mataragio anaendelea na majukumu yake mara moja.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments