TCRA YAFUNGUA DIRISHA LA KUSAJILI ONLINE TV NA BLOGS BAADA YA KUSITISHA



Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa taarifa kwa umma kuwa kuanzia leo Aprili 9,2021 imeanza kupokea maombi mapya ya Leseni za Maudhui mtandaoni kupitia tovuti ya TCRA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments