BEN MWANANTALA KUJA NA KIPINDI KIPYA CHA "SISI NI WAZALENDO", KURUSHWA STAR TV, KUONESHA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO



Mwandishi Mahiri katika Miradi ya Maendeleo Ben Mwanantala anatuletea kipindi Kipya CHA SISI NI WAZALENDO kikiwa kinaangazia utekelezaji wa Miradi yote ya nchi nzima.

Kipindi hiki kitaanza kurushwa hivi karibuni kupitia Channel mbalimbali ikiwemo cha STAR TV na Chanel ya SISI NI WAZALENDO kupitia YouTube.

Ili kunogesha kipindi hiki Ben Mwanantala atakuwa na mwenzake Sudi Shabani kutoka Mwanza wakinogesha kipindi hiki.

Kaa tayari eweee mzalendo!

Mambo mazuri na makubwa yanakuja!

Hongera sana mzalendo Ben Mwanantala.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments