SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA KALI WANAOPANDISHA BEI YA SARUJI
Tuesday, November 10, 2020
Serikali imesema itawachukulia hatua kali za kisheria, ikiwemo kuwanyang’anya leseni wale wote watakaobainika kuuza saruji kwa bei ya juu.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella, mara baada ya kutembelea viwanda vya Saruji vilivyopo jijini Tanga na kukuta uzalishaji ukiendelea.
Amesema bei ya kiwandani ni kati ya shilingi elfu kumi na mia sita (10,600) kwa mkoa wa Tanga na nje ya mkoa ni shilingi elfu kumi na moja na mia sita (11,600) kwa mfuko moja.
Aidha amesema kutokana na kutokuwepo kwa ongezeko la bei kutoka viwandani ya bei ya saruji itabaki kama ilivyokua awali na si vinginevyo
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin